Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+

  • Mambo ya Walawi 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.

  • Mambo ya Walawi 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atayaondoa mafuta yake yote,+ kama mafuta yalivyoondolewa kwenye dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu yawe harufu ya kumtuliza Yehova;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.+

  • Mambo ya Walawi 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova, naye atasamehewa lolote ambalo huenda akafanya kati ya mambo yote hayo, nalo limfanye awe na hatia.”

  • Mambo ya Walawi 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa maana katika siku hii upatanisho+ utafanywa kwa ajili yenu ili kuwatangaza kuwa safi. Mtakuwa safi kutokana na dhambi zenu zote mbele za Yehova.+

  • Hesabu 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi hiyo iliyofanya kosa kwa kutenda dhambi mbele za Yehova bila kukusudia, ili kuifanyia upatanisho, naye atasamehewa.+

  • Wakolosai 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ambaye kwa njia yake tunaachiliwa huru kupitia fidia, kusamehewa dhambi zetu.+

  • 1 Yohana 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki