5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
2 Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, hapo watachinja toleo la hatia, na damu+ yake atainyunyiza+ juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.