Mambo ya Walawi 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye atatapanya sehemu ya damu ya toleo la dhambi kando ya madhabahu, lakini damu inayobaki itaachwa itiririke kwenye msingi wa madhabahu.+ Hilo ni toleo la dhambi. Waebrania 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+
9 Naye atatapanya sehemu ya damu ya toleo la dhambi kando ya madhabahu, lakini damu inayobaki itaachwa itiririke kwenye msingi wa madhabahu.+ Hilo ni toleo la dhambi.
22 Ndiyo, karibu vitu vyote husafishwa kwa damu+ kulingana na Sheria, na damu isipomwagwa+ hakuna msamaha unaotokea.+