29“Na hili ndilo jambo utakalowafanyia ili kuwatakasa wapate kuwa makuhani kwangu: Mchukue ng’ombe-dume mchanga, na kondoo-dume wawili,+ wasio na kasoro,+
20 “Hili ndilo toleo+ la Haruni na wanawe ambalo watamtolea Yehova siku ya kutiwa mafuta kwake:+ sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini uwe toleo la nafaka+ daima, nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.