Kutoka 29:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kisha utamchukua yule kondoo-dume mwingine, naye Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo huyo.+ Mambo ya Walawi 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+
19 “Kisha utamchukua yule kondoo-dume mwingine, naye Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo huyo.+
37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+