Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Naye Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo huyo na mkate ulio katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa nini hamkula lile toleo la dhambi katika mahali palipo patakatifu,+ kwa kuwa ni kitu kitakatifu zaidi naye amewapa ninyi mpate kujibu kwa ajili ya kosa la kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao mbele za Yehova?+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

  • Wagalatia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki