Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Na ikiwa nafsi yoyote kati ya watu wa nchi itatenda dhambi bila kukusudia kwa kufanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe nayo iwe na hatia,+

  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+

  • Yohana 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+

  • 1 Wakorintho 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana niliwapa ninyi, kati ya mambo ya kwanza, yale niliyopokea+ pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.

  • Wagalatia 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu+ ili atukomboe kutoka katika mfumo mwovu wa mambo+ wa sasa, kulingana na mapenzi+ ya Mungu na Baba yetu,

  • Waefeso 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+

  • Tito 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 aliyejitoa mwenyewe+ kwa ajili yetu ili atukomboe+ sisi kutoka katika kila namna ya uasi-sheria na kujisafishia+ mwenyewe watu walio wake kwa njia ya pekee,+ walio na bidii kwa ajili ya kazi njema.+

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi+ zetu katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tuachane kabisa na dhambi+ na kuishi kwa uadilifu. Na “kwa mapigo yake mliponywa.”+

  • 1 Yohana 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki