27 “‘Na ikiwa nafsi yoyote kati ya watu wa nchi itatenda dhambi bila kukusudia kwa kufanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe nayo iwe na hatia,+
10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+
2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+
14 aliyejitoa mwenyewe+ kwa ajili yetu ili atukomboe+ sisi kutoka katika kila namna ya uasi-sheria na kujisafishia+ mwenyewe watu walio wake kwa njia ya pekee,+ walio na bidii kwa ajili ya kazi njema.+
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+
24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi+ zetu katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tuachane kabisa na dhambi+ na kuishi kwa uadilifu. Na “kwa mapigo yake mliponywa.”+