28 Na chombo cha udongo+ ambamo huenda likatokosewa ndani yake kitavunjwa. Lakini ikiwa lilitokoswa katika chombo cha shaba, basi kitaparuzwa na kuoshwa kwa maji.
13 Ndipo akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake na kuwaambia: “Nendeni jijini, nanyi mtakutana na mwanamume anayebeba chombo cha udongo cha maji.+ Mfuateni,