Mambo ya Walawi 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nacho chombo chochote cha udongo+ ambacho yeyote kati yao ataanguka ndani yake, chochote kilicho ndani yake kitakuwa kisicho safi, nanyi mtakivunja.+ Mambo ya Walawi 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na chombo cha udongo ambacho yule mwenye mtiririko unaotoka atagusa kitavunjwa;+ na chombo chochote cha mbao+ kitaoshwa katika maji.
33 Nacho chombo chochote cha udongo+ ambacho yeyote kati yao ataanguka ndani yake, chochote kilicho ndani yake kitakuwa kisicho safi, nanyi mtakivunja.+
12 Na chombo cha udongo ambacho yule mwenye mtiririko unaotoka atagusa kitavunjwa;+ na chombo chochote cha mbao+ kitaoshwa katika maji.