Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.

  • Mambo ya Walawi 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na katika siku ya nane+ atachukua wana-kondoo dume wawili ambao hawana kasoro na mwana-kondoo jike mmoja ambaye hana kasoro,+ katika mwaka wake wa kwanza, na sehemu tatu za kumi za efa ya unga laini kuwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta na logi moja ya mafuta;+

  • Hesabu 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki