Mambo ya Walawi 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani. Hesabu 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Mtavuka Yordani na kuingia katika nchi ya Kanaani.+ Kumbukumbu la Torati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Na itatukia kwamba mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, nawe umeimiliki na kukaa ndani yake,+
10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani.
26 “Na itatukia kwamba mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi, nawe umeimiliki na kukaa ndani yake,+