Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+

  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • 2 Samweli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ianguke na kurudi juu ya kichwa+ cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake, wala asikose katika nyumba ya Yoabu+ mwanamume anayetokwa na mtiririko+ au mwenye ukoma+ au mwanamume anayeshika gurudumu linalozunguka la kusokota nyuzi+ au anayeanguka kwa upanga au mwenye uhitaji wa mkate!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki