4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+
2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+
29 Na ianguke na kurudi juu ya kichwa+ cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake, wala asikose katika nyumba ya Yoabu+ mwanamume anayetokwa na mtiririko+ au mwenye ukoma+ au mwanamume anayeshika gurudumu linalozunguka la kusokota nyuzi+ au anayeanguka kwa upanga au mwenye uhitaji wa mkate!”+