Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Nayo mavazi matakatifu+ yaliyo ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake ili kuwatia mafuta+ wakiwa wameyavaa na kuijaza mikono yao nguvu wakiwa wameyavaa.+

  • Mambo ya Walawi 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nanyi msitoke nje ya mwingilio wa hema la mkutano kwa siku saba,+ mpaka siku ya kutimia kwa siku za kuwekwa kwenu rasmi, kwa sababu itachukua siku saba kuujaza mkono wenu nguvu.+

  • Waebrania 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Vivyo hivyo pia Kristo hakujitukuza mwenyewe+ kwa kuwa kuhani mkuu,+ bali alitukuzwa+ na yeye aliyesema hivi kumhusu: “Wewe ni mwanangu; mimi, leo, nimekuwa baba yako.”+

  • Waebrania 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa sababu Mungu amemwita jina, kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.+

  • Waebrania 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu+ ungekuwa ni kupitia ukuhani wa Walawi,+ (kwa maana huo ukiwa sehemu kuu watu walipewa Sheria,)+ kungekuwa na uhitaji gani zaidi+ wa kuhani mwingine kusimama kwa mfano wa Melkizedeki+ na asisemwe kuwa kwa mfano wa Haruni?

  • Waebrania 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ambaye amekuwa hivyo, si kulingana na sheria ya amri inayotegemea mwili,+ bali kulingana na nguvu za uzima usioweza kuharibika,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki