Waroma 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana tunajua kwamba Kristo hafi tena,+ kwa kuwa sasa amekwisha kufufuliwa kutoka kwa wafu;+ kifo si bwana juu yake tena. 1 Timotheo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayekaa katika nuru isiyoweza kufikiwa,+ ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona.+ Kwake yeye na kuwe heshima+ na nguvu milele. Amina. Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
9 Kwa maana tunajua kwamba Kristo hafi tena,+ kwa kuwa sasa amekwisha kufufuliwa kutoka kwa wafu;+ kifo si bwana juu yake tena.
16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayekaa katika nuru isiyoweza kufikiwa,+ ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona.+ Kwake yeye na kuwe heshima+ na nguvu milele. Amina.
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+