26 Basi Yuda akavichunguza na kusema:+ “Yeye ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa sababu sikumpa Shela mwanangu awe mke wake.”+ Naye hakulala naye tena baada ya hayo.+
11 Na mwanamume amefanya chukizo pamoja na mke wa mwenzake, na mwanamume amemnajisi+ binti-mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mpotovu;+ na ndani yako mwanamume amemfedhehesha dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+