Kutoka 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa ajili ya mtu wa hali ya chini, usionyeshe upendeleo katika ubishi wake.+ Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. 2 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+ Methali 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Maneno haya pia ni kwa ajili ya watu wenye hekima:+ Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+ Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+
19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.
6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+
23 Maneno haya pia ni kwa ajili ya watu wenye hekima:+ Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+