Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kwa ajili ya mtu wa hali ya chini, usionyeshe upendeleo katika ubishi wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+

  • Methali 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Maneno haya pia ni kwa ajili ya watu wenye hekima:+ Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+

  • Waroma 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki