15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.
17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+
7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+
21 Nakuagiza kwa uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu+ na malaika waliochaguliwa kwamba uyashike mambo haya bila kuhukumu mapema, bila kufanya jambo lolote kwa mwelekeo wenye ubaguzi.+
17 Zaidi ya hayo, ikiwa mnamwitia Baba ambaye huhukumu bila ubaguzi+ kulingana na matendo ya kila mmoja, jiendesheni kwa kuogopa+ katika wakati wa kukaa kwenu ugenini.+