Mambo ya Walawi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Maamuzi yangu ya hukumu+ mtayatenda, na sheria+ zangu mtazishika ili kutembea katika hizo.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu. Luka 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+
4 Maamuzi yangu ya hukumu+ mtayatenda, na sheria+ zangu mtazishika ili kutembea katika hizo.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+