Mambo ya Walawi 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikiwa mwanamume atalala naye na uchafu wake wa hedhi uwe juu yake,+ ndipo atakuwa asiye safi kwa siku saba, na kitanda chochote ambacho mwanamume huyo huenda akalalia kitakuwa si safi. Mambo ya Walawi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Nawe usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi+ ya uchafu wake ili kuufunua uchi wake.+ Ezekieli 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wameufunua uchi wa baba ndani yako;+ wamemfedhehesha mwanamke asiye safi katika hedhi yake ndani yako.+
24 Na ikiwa mwanamume atalala naye na uchafu wake wa hedhi uwe juu yake,+ ndipo atakuwa asiye safi kwa siku saba, na kitanda chochote ambacho mwanamume huyo huenda akalalia kitakuwa si safi.
10 Wameufunua uchi wa baba ndani yako;+ wamemfedhehesha mwanamke asiye safi katika hedhi yake ndani yako.+