41 Na kwa vitu hivyo wewe utamvika Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye, nawe utawatia mafuta+ na kuijaza mikono yao nguvu+ na kuwatakasa, nao watakuwa makuhani kwangu.
11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+
13 Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi+ na ya ng’ombe-dume+ na majivu+ ya ndama-jike yaliyonyunyizwa juu ya wale ambao wametiwa unajisi+ hutakasa kufikia usafi wa mwili,+