Mambo ya Walawi 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kuhusu ng’ombe-dume au kondoo mwenye kiungo kirefu mno au kifupi mno,+ unaweza kumtoa awe toleo la hiari; lakini kwa ajili ya nadhiri hatapokewa kwa kibali.
23 Na kuhusu ng’ombe-dume au kondoo mwenye kiungo kirefu mno au kifupi mno,+ unaweza kumtoa awe toleo la hiari; lakini kwa ajili ya nadhiri hatapokewa kwa kibali.