Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+

  • Hesabu 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Kusanyiko hili lenye uovu litaendelea kuwa na manung’uniko haya ambayo linaendeleza juu yangu mpaka wakati gani?+ Nimesikia manung’uniko ya wana wa Israeli wanayonung’unika juu yangu.+

  • Hesabu 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu hiyo wewe na kusanyiko lako lote wanaokusanyika pamoja mnampinga Yehova.+ Na Haruni, yeye ni nani hata mnung’unike juu yake?”+

  • Hesabu 16:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na kesho yake kusanyiko lote la wana wa Israeli likaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusema: “Ninyi, ninyi mmewaua watu wa Yehova.”

  • 1 Wakorintho 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki