Mambo ya Walawi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye atauleta kwa kuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja uwe kumbukumbu+ lake naye ataufukiza kwenye madhabahu juu ya toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto.+ Hilo ni toleo la dhambi.+ Mambo ya Walawi 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Kila mwanamume kati ya makuhani atalila.+ Ni kitu kitakatifu zaidi.+
12 Naye atauleta kwa kuhani, naye kuhani atachukua kipimo cha mkono mmoja uwe kumbukumbu+ lake naye ataufukiza kwenye madhabahu juu ya toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto.+ Hilo ni toleo la dhambi.+
26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano.