Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.

  • Kumbukumbu la Torati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+

  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+

      Nami nikasema:

      “Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+

      Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+

  • Matendo 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40+ akavumilia jinsi walivyotenda nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki