Kumbukumbu la Torati 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana. Kumbukumbu la Torati 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+ Zaburi 95:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+ Matendo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40+ akavumilia jinsi walivyotenda nyikani.
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.
5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+ Matendo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40+ akavumilia jinsi walivyotenda nyikani.