14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako,
4 nawe umeambiwa, ukasikia, ukatafuta kabisa, na, tazama! jambo hilo limethibitishwa kuwa kweli,+ jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katika Israeli!
6 Naye akawaambia wale waamuzi: “Oneni mnalofanya,+ kwa sababu hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova;+ naye yupo pamoja nanyi katika jambo la hukumu.+