Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova hakuwaonyesha upendo hivi kwamba akawachagua kwa sababu mlikuwa kikundi chenye hesabu kubwa zaidi ya watu kuliko vikundi vyote,+ kwa maana ninyi ndio mliokuwa kikundi chenye watu wachache zaidi.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+

      Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+

      Na wao—wao waliegama miguuni pako;+

      Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+

  • Ezekieli 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Nami nikaja nikipita kando yako nikakuona, na, tazama! wakati wako ulikuwa wakati wa maonyesho ya upendo.+ Kwa hiyo nikatandaza upindo wa nguo yangu juu yako+ na kuufunika utupu wako na kukutolea ahadi yenye kiapo na kuingia katika agano pamoja nawe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na kwa hiyo ukawa wangu.+

  • Malaki 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewapenda ninyi,”+ Yehova amesema.

      Nanyi mmesema: “Umetupenda kwa njia gani?”+

      “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki