Mhubiri 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+ Waroma 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 wasio na uelewaji,+ waongo kwa mapatano,+ wasio na upendo wa asili,+ wasio na rehema.+ Yakobo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.
6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.