Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+

  • Hesabu 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nao wakampa habari na kusema: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo kwa kweli inatiririka maziwa na asali,+ na haya ni matunda yake.+

  • Hesabu 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikiwa Yehova amependezwa nasi,+ basi kwa hakika atatuingiza katika nchi hii na kutupa sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akatuleta mahali hapa na kutupa sisi nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali.+

  • Yeremia 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’”

      Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”

  • Yeremia 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Baada ya muda ukawapa nchi hii ambayo uliwaapia mababu zao kuwapa,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki