Mambo ya Walawi 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+ Hesabu 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nao wakampa habari na kusema: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo kwa kweli inatiririka maziwa na asali,+ na haya ni matunda yake.+ Hesabu 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa Yehova amependezwa nasi,+ basi kwa hakika atatuingiza katika nchi hii na kutupa sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Kumbukumbu la Torati 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha akatuleta mahali hapa na kutupa sisi nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Yeremia 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.” Yeremia 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Baada ya muda ukawapa nchi hii ambayo uliwaapia mababu zao kuwapa,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+
24 Ndipo nikawaambia ninyi:+ “Ninyi mtaimiliki nchi yao, nami nitawapa ninyi ili mwimiliki, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatenga kutoka kwa vikundi vya watu.”+
27 Nao wakampa habari na kusema: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo kwa kweli inatiririka maziwa na asali,+ na haya ni matunda yake.+
8 Ikiwa Yehova amependezwa nasi,+ basi kwa hakika atatuingiza katika nchi hii na kutupa sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.+
5 kwa kusudi la kutimiza kiapo nilichowaapia mababu zenu,+ kuwapa nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kama ilivyo leo hii.’”’” Nami nikajibu na kusema: “Amina, Ee Yehova.”
22 “Baada ya muda ukawapa nchi hii ambayo uliwaapia mababu zao kuwapa,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+