Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hakika ninyi mtawafuatilia adui+ zenu, nao wataanguka kwa upanga mbele yenu.

  • Kumbukumbu la Torati 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mmoja angewezaje kufuatilia elfu,

      Na wawili kuwafanya elfu kumi wakimbie?+

      Haingewezekana isipokuwa Mwamba wao awe amewauza+

      Na Yehova awe amewatoa.

  • Yoshua 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba walipokuwa wanakimbia kutoka mbele ya Israeli, wakiwa kwenye mteremko wa Beth-horoni, Yehova akawatupia mawe+ makubwa kutoka mbinguni mpaka Azeka, nao wakafa. Wale waliokufa kutokana na hayo mawe ya mvua walikuwa wengi kuliko wale ambao wana wa Israeli waliwaua kwa upanga.

  • 2 Samweli 22:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Nitawafuatilia adui zangu, ili niwamalize,

      Nami sitarudi mpaka waangamizwe.+

  • Zaburi 89:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na adui zake niliwavunja vipande-vipande kutoka mbele yake,+

      Na wale wanaomchukia vikali niliendelea kuwapa mapigo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki