Zaburi 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkono wako utawapata adui zako wote;+Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia. Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Luka 19:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Zaidi ya hayo, hao adui zangu ambao hawakutaka niwe mfalme juu yao waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’ ”+ Yohana 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kama singefanya kati yao kazi ambazo hakuna mwingine aliyezifanya,+ hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa wameniona na pia wamenichukia mimi na vilevile Baba yangu.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
27 Zaidi ya hayo, hao adui zangu ambao hawakutaka niwe mfalme juu yao waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’ ”+
24 Kama singefanya kati yao kazi ambazo hakuna mwingine aliyezifanya,+ hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa wameniona na pia wamenichukia mimi na vilevile Baba yangu.+