Kutoka 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye Yehova akashuka+ katika wingu, akasimama huko pamoja naye na kulitangaza jina la Yehova.+ Zaburi 105:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Yohana 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nimewajulisha+ jina lako nami nitalijulisha, ili upendo ulionipenda nao upate kuwa ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+
26 Nami nimewajulisha+ jina lako nami nitalijulisha, ili upendo ulionipenda nao upate kuwa ndani yao nami katika muungano pamoja nao.”+