Zaburi 115:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yaseme:+“Yuko wapi, sasa, Mungu wao?”+ Zaburi 140:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova, usimpe mwovu tamaa zake.+Usiunge mkono hila yake, ili wasipate kuinuliwa.+ Sela.