Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 79:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+Na ijulikane katika mataifa mbele ya macho yetu+Juu ya kulipiza kisasi damu ya watumishi wako ambayo imemwagwa.+ Yoeli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+Na ijulikane katika mataifa mbele ya macho yetu+Juu ya kulipiza kisasi damu ya watumishi wako ambayo imemwagwa.+
17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+