33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+
28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+
21 Walikuwa wakubwa na wengi sana na watu warefu kama Waanaki;+ naye Yehova akawaangamiza+ kutoka mbele yao, ili wapate kuwafukuza na kukaa mahali pao;