Kutoka 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+ Zaburi 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+
8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+Yehova mwenye uwezo katika vita.”+