Kumbukumbu la Torati 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wanaofuata ndio watakaosimama kwa ajili ya laana+ kwenye Mlima Ebali:+ Rubeni, Gadi na Asheri na Zabuloni, Dani na Naftali. Yoshua 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha akasoma kwa sauti maneno yote ya sheria,+ baraka+ na laana,+ kulingana na yote ambayo yameandikwa katika kitabu cha sheria.
13 Na wanaofuata ndio watakaosimama kwa ajili ya laana+ kwenye Mlima Ebali:+ Rubeni, Gadi na Asheri na Zabuloni, Dani na Naftali.
34 Kisha akasoma kwa sauti maneno yote ya sheria,+ baraka+ na laana,+ kulingana na yote ambayo yameandikwa katika kitabu cha sheria.