Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Kumbukumbu la Torati 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Yehova atamtenga+ kwa ajili ya msiba mbali na makabila yote ya Israeli kupatana na kiapo chote cha agano ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki