Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yehova Mungu wako atakapokatilia mbali mataifa+ ambayo nchi yao Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umewafukuza na kukaa katika majiji yao na nyumba zao,+

  • Zaburi 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+

      Nawe ukawapanda hao badala yao.+

      Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+

  • Zaburi 78:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+

      Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+

      Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki