23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+
3 Nawe unajua vema leo kwamba Yehova Mungu wako anavuka mbele yako.+ Yeye ni moto unaoteketeza.+ Atawaangamiza hao,+ na yeye mwenyewe atawatiisha mbele yenu; nanyi mtawafukuza na kuwaharibu haraka, kama vile ambavyo Yehova amesema nanyi.+
19“Yehova Mungu wako atakapokatilia mbali mataifa+ ambayo nchi yao Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umewafukuza na kukaa katika majiji yao na nyumba zao,+