Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.

  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • 2 Wafalme 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nao wakaendelea kukataa masharti yake na agano+ lake alilofanya na mababu zao na vikumbusho+ vyake alivyokuwa amewaonya navyo, nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili+ nao wenyewe wakawa ubatili,+ naam, kwa kuiga mataifa yaliyowazunguka pande zote, ambao Yehova alikuwa amewaamuru wasifanye kama wao;+

  • Yeremia 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na zaidi ya hayo, walijenga mahali pa juu pa Baali+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwapitisha wana wao na binti zao motoni+ kwa Moleki,+ jambo ambalo sikuwaamuru,+ wala halikuingia moyoni mwangu kufanya chukizo hili,+ kwa kusudi la kufanya Yuda watende dhambi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki