Kumbukumbu la Torati 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+ Kumbukumbu la Torati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+ Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+
5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+
2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+