Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+ Zaburi 135:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+ Zaburi 136:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+
8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+