Mwanzo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu akasema:+ “Kuwe na nuru.” Kukawa na nuru.+ Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 136:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+