Kumbukumbu la Torati 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Wasidoni walikuwa wakiuita Hermoni Sirioni,+ nao Waamori walikuwa wakiuita Seniri,)+ Yoshua 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+
5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+