14 Basi Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi mpaka kwa mfalme wa Edomu:+ “Hivi ndivyo ndugu yako Israeli+ amesema, ‘Wewe mwenyewe unajua vema magumu yote ambayo yametupata.+
4 Nawe uwaamuru watu, na kusema: “Mnapita kando ya mpaka wa ndugu zenu,+ wana wa Esau,+ ambao wanakaa Seiri,+ nao wataogopa kwa sababu yenu,+ nanyi lazima muwe waangalifu sana.