Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova.

  • Yoshua 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Na sasa ondoeni miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ mwelekeze mioyo yenu kwa Yehova Mungu wa Israeli.”

  • Waamuzi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi+ na miungu ya Siria+ na miungu ya Sidoni+ na miungu ya Moabu+ na miungu ya wana wa Amoni+ na miungu ya Wafilisti.+ Basi wakamwacha Yehova wala hawakumtumikia yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki