1 Samweli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.” 1 Samweli 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+
8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”
11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+