Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+

      Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+

  • Zaburi 125:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+

      Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+

      Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+

  • Mhubiri 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+

  • Malaki 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

      Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki