Zaburi 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ametenda kwa ulaini machoni pake mwenyewe+Asiweze kuliona kosa lake ili alichukie.+ Zaburi 125:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+ Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+ Malaki 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”
5 Na wale wanaogeuka kando kwenye njia zao zilizopotoka,+Yehova atawafanya waende zao pamoja na wale wanaotenda mambo yenye kuumiza.+Kutakuwa na amani juu ya Israeli.+
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema. Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”