1 Mambo ya Nyakati 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+ Zaburi 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+ Zaburi 101:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+Halishikamani nami.+ Methali 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 wale ambao mapito yao yamepotoka na ambao kwa ujumla ni wenye hila maishani mwao;+ Isaya 59:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+
13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+
4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+
3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+Halishikamani nami.+
8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+