Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+

  • Zaburi 40:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+

      Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,

      Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+

  • Zaburi 101:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+

      Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+

      Halishikamani nami.+

  • Methali 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 wale ambao mapito yao yamepotoka na ambao kwa ujumla ni wenye hila maishani mwao;+

  • Isaya 59:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki