Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu+ wa umbo lake, kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona,+ kwa maana mwanadamu huona kile kinachoonekana kwa macho,+ lakini Yehova huona jinsi moyo+ ulivyo.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Daudi anaweza kukuambia nini zaidi kwa habari ya kumheshimu mtumishi wako,+ kwa kuwa wewe mwenyewe unamjua vema mtumishi wako?+

  • Zaburi 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+

      Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+

      Kinywa changu hakitafanya kosa.+

  • Zaburi 139:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 139 Ee Yehova, umenichunguza kabisa, nawe unanijua.+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki