Zaburi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+ Zaburi 90:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+ Methali 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!
9 Tafadhali, ubaya wa waovu na ufikie mwisho,+Nawe umwimarishe mwadilifu;+Na Mungu akiwa mwadilifu+ anapima moyo+ na figo.+
8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+
11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!